Tuesday, June 28, 2016

Yanga mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara wamepoteza mechi yao ya  pili katika kundi A la kombe la shirikisho Tanzania bara.Yanga ambao walionyesha kandanda safi leo uwanja wa Taifa walikubali kichapo hicho huku wakiwa na wachezaji wao wote wa kulipwa pamoja na mchezaji wao waliomsajili hivi karibuni Obrey Cholla Chirwa kwa gharama kubwa.

    Ushindi huo umewafanya TP Mazembe kufikisha point 6 nakuwa vinara kwenye kundi lao hilo,iliwachukuwa dakika 74 kuweza kupata bao lao hilo moja na la ushindi ambako mlinzi wao raia wa Congo kwa jina Merveille Bope akiifungia Mazembe .Yanga sasa inashika mkia katika kundi hilo.
                                                                                                                                                                       

No comments:

Post a Comment